Nahodha aliyeiongoza ujerumani kutwaa kombe la dunia nchini brazil Philip Lahm amestaafu kuichezea timu ya taifa ya ujerumani mchezaji huyo mwenye miaka 30 alimpa taarifa kocha wa ujerumani Joachim low na pia alituma barua kwa chama cha soka cha ujerumani, Lahm alianza kua nahodha wa kikosi cha ujerumani mwaka 2010 baada ya aliyekua nahodha wa timu hiyo Michael Ballack kuumia kwenye kombe la dunia lililofanyika nchini africa kusini,mshambuliaji wa arsenal Lukas podolski baada ya kupata taarifa ya kustaafu kwa lahm alisema "ilikua ni furaha sana kucheza timu moja na wewe".
No comments:
Post a Comment