Mchezaji betram mwombeki aliyechezea simba mechi chache za mzunguko wa pili msimu uliopita leo alionekana viwanja vya azam complex akiwa amevalia uzi wa JKT RUVU wakati timu hiyo ilipocheza na Azam FC kocha Fred Felix Minziro alimpanga katika mechi hiyo iliyoisha kwa matokeo ya azam kushinda magoli 2-1 na mwombeki ndiye aliyetoa pasi ya goli la JKT RUVU..mwombeki alipoulizwa alisema "ndio niko hapa naangalia ustaarabu mpya" nae meneja wa timu hiyo alisema tumempokea mwombeki na tunafanya nae mazungumzo ili tuweze kumsajili. :picha kwa hisani ya bin zubery
No comments:
Post a Comment