kocha aliyekua akiinoa timu ya taifa ya brazil luis Felipe scolari ametimuliwa baada ya Brazil kufanya vibaya katika michuano ya kombe la dunia inadaiwa kocha huyo alikutana na uongozi wa chama cha soka cha brazil CBF jumamosi usiku baada ya kupata kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa uholanzi na kupewa barua ya kutimuliwa.
No comments:
Post a Comment