Friday, July 18, 2014

FERDINAND ASAINI QPR

beki  aliyetemwa na manchester united  Rio Ferdinand amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea timu ya Queens park rangers ambayo imepanda daraja Ferdinand mwenye miaka 35 alifanya mazungumzo na kocha wa timu hiyo Harry Redknapp kwenye moja ya hoteli kubwa jijini London,Rio atalipwa mshahara wa pauni 70000.

No comments:

Post a Comment