Friday, July 18, 2014

CHELSEA YANASA KIFAA KINGINE KUTOKA ATLETICO MADRID

Beki wa kushoto wa atletico Madrid Felipe Luis raia wa brazil amesajiliwa na chelsea kwa dau la euro milioni 15 baada ya kukamisha usajili huo Luis alisema "ndoto yangu imetimia sasa naweza kuichezea Chelsea na pia ligi kuu ya uingereza na nitacheza kwa bidii ili kuisaidia timu kufanya vizuri" Luis mwenye miaka 28 anakua mchezaji wa pili kusajiliwa na Chelsea kutoka atletico madrid baada ya kumsajili Diego Costa miezi michache iliyopita

No comments:

Post a Comment