Monday, August 11, 2014

KLOSE ATUNDIKA DARUGA SOKA LA KIMATAIFA

Mchezaji anayeshikilia rekodi ya kufunga mabao mengi zaidi kwa nyakati zote za kombe la dunia mjerumani Miroslav Klose amestaafu kuichezea timu ya taifa ya ujerumani,katika kombe la dunia lililomalizika hivi karibuni klose alifunga mabao mawili na kufikisha idadi ya mabao 16 na kuvunja rekodi ya ronaldo de lima hvyo amekua kinara wa ufungaji katika vipindi vyote vya kombe la dunia "nna furaha kufikia mafanikio haya hakika nimeacha nyakati nyingi za kukumbukwa" alisema klose mwenye miaka 36 mpaka anastaafu klose ameifungia ujerumani  mabao 71.

No comments:

Post a Comment