Thursday, July 17, 2014

AZAM YAIBAMIZA JKT RUVU 2-1

Timu ya soka ya Azam FC leo imecheza mchezo wa kirafiki dhidi ya JKT RUVU kwenye uwanja wa azam complex na kufanikiwa kushinda mabao 2-1 mabao hayo yaliwekwa kimiani na kipre tchetche(nahodha) pamoja na mshambuliaji aliyesajiliwa kutoka yanga didier kavumbagu huku bao la kufutia machozi kwa upande wa JKT RUVU likifungwa na Hassan Bilal, hiyo ni mechi ya kirafiki ya tatu mfululizo kwa azam kuibuka na ushindi baada ya kuifunga kombaini ya jeshi 3-0 kabla ya kuichapa polisi morogoro 1-0:picha kwa hisani ya bin zubeiry.

No comments:

Post a Comment