Timu ya taifa ya ujerumani imetwaa ubingwa wa kombe la dunia baada ya kuifunga Argentina bao 1-0 bao lililofungwa na mshambuliaji wa klabu ya Bayern munich Mario Gotze aliyeingia dakika ya 88 kuchukua nafasi ya miroslav klose ujerumani ilibidi wasubiri hadi dakika ya 112 na kuweza kujipatia bao hilo baada ya kutoka sare ya bila kufungana
No comments:
Post a Comment