Monday, July 14, 2014

WACHEZAJI WA UJERUMANI WAPONGEZWA KWA MABUSU MOTO MOTO NA WAPENZI WAO

Baada ya kutwaa kombe la dunia kwa kuifunga Argentina bao 1-0 baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya ujerumani walipongezwa kwa mabusu motomoto na wapenzi wao miongoni mwa wachezaji hao ni sami khedira,mats hummels,schuerrle ambae alionekana kuona aibu kwenye suala hilo.,pamoja na muuaji Mario gotze.

No comments:

Post a Comment