Wednesday, July 16, 2014

JAJA AANZA KUJIFUA YANGA

mshambuliaji aliyesajiliwa na yanga kutoka nchini Brazil Geilson Santana Santos ameanza kujifua na wenzake leo asubuhi  kwenye uwanja wa shule ya sekondari ya loyola :picha kwa hisani ya binzubery.

No comments:

Post a Comment