Friday, July 11, 2014

FIFA YAKATAA RUFAA YA SUAREZ

FIFA imeipiga chini rufaa ya chama cha soka cha uruguay AUF iliyomkatia mchezaji wake Luis suarez baada ya kumn'gata beki wa italia giorgio chiellini kwenye mechi ya kombe la dunia pia FIFA imeambatanisha adhabu hiyo na faini ya paundi 100,000

No comments:

Post a Comment