Klabu ya real madrid ya hispania imefanikiwa kunasa saini ya kiungo wa Bayern Munich Toni kroos kwa ada ya uhamisho pauni milioni 24 mchezaji huyo mwenye mwenye miaka 24 raia wa ujerumani amesaini mkataba wa miaka sita kuichezea timu hiyo naye mwenyekiti wa bayern munich Karl-heinz Rummenigge amesema "tunamshukuru kroos kwa mchango wake tunamtakia maisha mema yeye na familia yake wakiwa real madrid".
No comments:
Post a Comment