klabu ya Barcelona imefanikiwa kunasa saini ya mshambuliaji wa liverpool Luis Suarez kwa ada ya uhamisho paundi milioni 75 na imemkabidhi jezi namba 9 Suarez amewaomba radhi mashabiki wa Liverpool kwani ilikua ni ndoto yake ya muda mrefu kucheza soka nchini hispania lakini pia atakua karibu na familia yake pamoja na mke wake sophia mwisho aliwatakia kila la heri liverpool naye kocha wa Liverpool Brendan Rodgers amemshukuru Suarez kwa mchango wake ulioifanya timu kurudi kwenye michuano ya klabu bingwa barani ulaya(uefa champions league) lakini Suarez hatatambulishwa na Barcelona kutokana na adhabu anayoitumikia ya kutojihusisha na masuala ya soka kwa muda wa miezi minne kwa kosa la kumn'gata Giorgio chiellini kwenye mechi ya kombe la dunia
No comments:
Post a Comment